Ijumaa, 25 Muharram 1448 | 2026/07/10
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Badala yake, Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume Itazika Umoja wa Kiarabu na Tawala Zote za Madhara

Badala yake, Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume Itazika Umoja…

Jumanne, 8 Muharram 1448 - 23 Juni 2026

Rais wa Misri el-Sisi alisisitiza umuhimu wa kuimarisha mfumo wa hatua za pamoja za Waarabu na kuamsha dori ya Umoja wa Kiarabu kama "mwavuli mkuu na mfumo kamili wa kutetea maslahi ya dola za Kiarabu na Waarabu." Hii ilikuja wakati wa mapokezi yake mnamo Jumapili ya Nabil Fahmy, mgombea wa wadhifa wa Katibu Mkuu wa Umoja huo, na Ahmed Aboul Gheit, Katibu Mkuu wa sasa, ambaye muhula wake unaisha mwishoni mwa mwezi huu. El-Sisi pia alithibitisha "maono ya Misri ambayo yana nia ya kuchukua dori za kujenga ambazo zinakuza masuluhisho ya amani kwa migogoro ya eneo hilo."

Afisi ya Habari

Badala yake, Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume Itazika Umoja wa Kiarabu na Tawala Zote za Madhara

Badala yake, Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume Itazika Umoja wa Kiarabu na Tawala Zote za Madhara

Jumanne, 8 Muharram 1448 - 23 Juni 2026

Rais wa Misri el-Sisi alisisitiza umuhimu wa kuimarisha mfumo wa hatua za pamoja za Waarabu na kuamsha dori ya Umoja wa Kiarabu kama "mwavuli mkuu na mfumo kamili wa kutetea maslahi ya dola za Kiarabu...

Mabadiliko katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Mabadiliko katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria

Jumanne, 1 Muharram 1448 - 16 Juni 2026

Tunawajulisha kwamba Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria sasa ni Ustadh Ali Mustafa Al-Bakri, kuanzia 1 Muharram 1448 H, sawia na 16/06/2026 M, pamoja na shukrani za dhati kwa Us...

Habari za Dawah

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Amali kwa Mnasaba wa Idd al-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Amali kwa Mnasaba wa Idd al-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Jumamosi, 13 Dhu al-Hijjah 1447 - 30 Mei 2026

Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan iliandaa amali katika afisi yake ya Khartoum kusherehekea Idd al-Adha kwa mwaka 1447 H (2026 M). Wakati wa amali hiyo, Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil), msemaji ras...

Hizb ut Tahrir / Malaysia: Hati ya Pingamizi kuhusu “KL Headline Msimu wa 2026”

Hizb ut Tahrir / Malaysia: Hati ya Pingamizi kuhusu “KL Headline Msimu wa 2026”

Jumanne, 2 Muharram 1448 - 16 Juni 2026

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir Malaysia (HTM) uliwasilisha hati ya pingamizi kwa Wizara ya Mawasiliano huko Putrajaya kuhusu kuandaliwa kwa tamasha la “KL Headline Msimu wa 2026”. Hatua hii ilichukuliwa...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Maoni ya kila Wiki: “Udanganyifu wa Mazungumzo ya Fedheha!”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Maoni ya kila Wiki: “Udanganyifu wa Mazungumzo ya Fedheha!”

Ijumaa, 19 Dhu al-Hijjah 1447 - 05 Juni 2026

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Maoni ya kila Wiki: “Udanganyifu wa Mazungumzo ya Fedheha!” ...

“KL Headline Msimu wa 2026”: Serikali ya Madani Haijali tena Ghadhabu ya Mwenyezi Mungu!

“KL Headline Msimu wa 2026”: Serikali ya Madani Haijali tena Ghadhabu ya Mwenyezi Mungu!

Jumatano, 17 Dhu al-Hijjah 1447 - 03 Juni 2026

Kuala Lumpur iko tayari kuibuka kama mahali mwanana pa ziara za matamasha ya kimataifa barani Asia kupitia “KL Headline Msimu wa 2026,” ambao unakutanisha maonyesho 25 ya wasanii wa kimataifa katika m...

Habari

Watawala wa Pakistan Wanatoa Kile Ambacho Marekani Imekuwa Ikikiota Siku Zote na Kuiondoa Katika Hatari Yake

Watawala wa Pakistan Wanatoa Kile Ambacho Marekani Imekuwa Ikikiota Siku Zote na Kuiondoa Katika Hatari Yake

Jumanne, 9 Dhu al-Hijjah 1447 - 26 Mei 2026

Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza mnamo Jumamosi, Mei 23, 2026, kwamba makubaliano na Iran yalikuwa karibu kukamilika, akisema, “Makubaliano yamejadiliwa kwa kiasi kikubwa, yanakaribia kukamili...

Pakistan yenye Nyuklia Ni Sehemu Isiyofutika ya Ummah wa Kiislamu, Yenye Uwezo wa Matokeo Katika Kiwango cha Kimataifa, Baada ya Kusimamishwa Khilafah Rashida

Pakistan yenye Nyuklia Ni Sehemu Isiyofutika ya Ummah wa Kiislamu, Yenye Uwezo wa Matokeo Katika Kiwango cha Kimataifa, Baada ya Kusimamishwa Khilafah Rashida

Jumapili, 7 Dhu al-Hijjah 1447 - 24 Mei 2026

Kitengo cha vyombo vya habari cha vikosi vya jeshi vya Pakistan, Inter-Services Public Relations (ISPR), kilitoa taarifa kwa vyombo vya habari mnamo tarehe 17 Mei 2026, kikijibu kuwepo tishio kutoka k...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu