Jumatano, 26 Safar 1447 | 2025/08/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Umuhimu wa Kimkakati wa Eneo la Sudan

Umuhimu wa Kimkakati wa Eneo la Sudan

Jumatatu, 24 Safar 1447 - 18 Agosti 2025

Aprili 15, 2025 ilitimiza miaka miwili tangu Sudan kukumbwa na vita vya maangamivu vya wenyewe kwa wenyewe, na kusababisha moja ya majanga makubwa zaidi ya kibinadamu duniani leo. Miaka miwili iliyopita mwezi Aprili, mapigano yalizuka kati ya Vikosi vya Wanajeshi wa Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF), na kuwahamisha mamilioni ya watu, na kuiingiza nchi katika uhaba mkubwa wa chakula, na kuharibu huduma muhimu za afya na elimu. Licha ya maafa ya kibinadamu ambayo yametokea, vita vya Sudan kwa kiasi kikubwa vimeepukana na muanga wa kimataifa. Sudan ni vita iliyosahauliwa, haswa kwa ulimwengu wa Magharibi ambao unaweza...

Afisi ya Habari

Enyi Watu! Je, bado mungali na matumaini kwa Watawala na Wanasiasa Watepetevu (Ruwaibidha) wa Sasa?!

Enyi Watu! Je, bado mungali na matumaini kwa Watawala na Wanasiasa Watepetevu (Ruwaibidha) wa Sasa?!

Ijumaa, 21 Safar 1447 - 15 Agosti 2025

Baada ya kuanguka kwa dhalimu Hasina, watu walitarajia Profesa Yunus achukue hatua madhubuti za kukabiliana na udhibiti wa Marekani-Uingereza-India kwa kutumia ushawishi wake wa kimataifa. Angeweza ku...

Matoleo

Gaza iko Ukingoni mwa Kuzidishwa Mauaji na Ukandamizaji Mkali ikiwa Umma wa Kiislamu hautasonga mbele Kuinusuru

Gaza iko Ukingoni mwa Kuzidishwa Mauaji na Ukandamizaji Mkali ikiwa Umma wa Kiislamu hautasonga mbele Kuinusuru

Ijumaa, 14 Safar 1447 - 08 Agosti 2025

Gaza Hashim inaingia katika hatua mpya ya mauaji na uharibifu baada ya wizara ya usalama ya umbile halifu kuamua asubuhi ya Ijumaa hii, 08/08/2025, kupanua operesheni zake ili kuweka udhibiti wake juu...

Kukipokonya Silaha Chama cha Iran na Dori ya Mamlaka ya Lebanon!

Kukipokonya Silaha Chama cha Iran na Dori ya Mamlaka ya Lebanon!

Jumapili, 16 Safar 1447 - 10 Agosti 2025

Makubaliano ya kusitisha mapigano ya tarehe 27/11/2024, kati ya umbile la Kiyahudi na mamlaka za Lebanon, chini ya usimamizi wa moja kwa moja wa Marekani, yaliweka msingi wa kisiasa wa kukipokonya sil...

Habari za Dawah

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Kampeni ya Kimataifa - Vita vya Sudan: Hadithi ya Ukoloni, Usaliti na Udanganyifu”

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Kampeni ya Kimataifa - Vita vya Sudan: Hadithi ya Ukoloni, Usaliti na Udanganyifu”

Jumatatu, 10 Safar 1447 - 04 Agosti 2025

Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua kampeni ya kimataifa kuangazia maafa yanayozidi kuwa mabaya ya kibinadamu yanayowakabili Waislamu wa Sudan. Kampeni hii pia...

Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (468)

Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (468)

Jumanne, 1 Muharram 1447 - 01 Julai 2025

Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (468) ...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Amali za kimataifa za Hizb ut Tahrir za Kuinusuru Gaza!

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Amali za kimataifa za Hizb ut Tahrir za Kuinusuru Gaza!

Jumanne, 18 Safar 1447 - 12 Agosti 2025

Sehemu ya amali za kimataifa zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir kote ulimwenguni katika kuwanusuru na kuwaombea nusra watu wetu mjini Gaza na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu, kuanzia mto wake hadi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Matembezi ya Halaiki ya Kuinusuru Gaza “Kuwahutubia wale Wanaohusika!”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Matembezi ya Halaiki ya Kuinusuru Gaza “Kuwahutubia wale Wanaohusika!”

Jumapili, 2 Safar 1447 - 27 Julai 2025

Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa muda wa miezi 21, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaz...

Makala

Umuhimu wa Kimkakati wa Eneo la Sudan

Umuhimu wa Kimkakati wa Eneo la Sudan

Jumatatu, 24 Safar 1447 - 18 Agosti 2025

Aprili 15, 2025 ilitimiza miaka miwili tangu Sudan kukumbwa na vita vya maangamivu vya wenyewe kwa wenyewe, na kusababisha moja ya majanga makubwa zaidi ya kibinadamu duniani leo. Miaka miwili iliyopi...

Vita vya Sudan Vilivyosahauliwa: Janga kwa Ummah

Vita vya Sudan Vilivyosahauliwa: Janga kwa Ummah

Jumapili, 16 Safar 1447 - 10 Agosti 2025

Sudan inavuja damu. Na ulimwengu hauelewi kabisa. Sasa ikiingia katika mwaka wake wa tatu mbaya, vita vya kikatili kati ya Vikosi vya Wanajeshi wa Sudan (SAF), vinavyoongozwa na Jenerali Abdel Fattah ...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu