Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Kongamano la Antalya: “Usuli…
Jumapili, 2 Jumada II 1447 - 23 Novemba 2025
Katika kukabiliana na mauaji ya kikatili yanayoendelea (mauaji ya halaiki) yanayofanywa na umbile halifu la Kizayuni dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza kwa zaidi ya miaka miwili, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi, kujeruhiwa, na kutoweka kwa Waislamu zaidi ya 220,000 hadi sasa, Hizb ut-Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa kongamano la pamoja jijini Antalya lenye kichwa: “Usuli wa Amani na Mustakabali wa Gaza.”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Jukwaa la Mazungumzo: “Ni…
Kamati ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Tunisia iliandaa jukwaa la mazungumzo…
Kampeni ya Umbile la Kizayuni katika Ukingo wa Kaskazini Magharibi…
Hawa hapa Mayahudi wakizidi kuwa wakali zaidi katika Ukingo wa Magharibi, wakitangaza “operesheni ya kijeshi”…
Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi kutoka Uzbekistan Abdul-Majeed Butirov
Hizb ut Tahrir Uzbekistan yaomboleza kwa Umma wa Kiislamu mwanachama wa Hizb ut Tahrir: Abdul-Majeed Butirov
GHASIA ZA TANZANIA ZA BAADA YA UCHAGUZI WA 2025
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na mgogoro wa kisiasa tangu siku ya uchaguzi ya tarehe 29 Oktoba…
Ni Khilafah Rashida pekee kwa Njia ya Utume ndiyo itakayong'oa…
Kwa mwaliko wa Balozi wa Uingereza, Kumar Iyer, pamoja na Ujerumani, Ireland, Uholanzi, na Norway,…




