Badala yake, Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume Itazika Umoja…
Jumanne, 8 Muharram 1448 - 23 Juni 2026
Rais wa Misri el-Sisi alisisitiza umuhimu wa kuimarisha mfumo wa hatua za pamoja za Waarabu na kuamsha dori ya Umoja wa Kiarabu kama "mwavuli mkuu na mfumo kamili wa kutetea maslahi ya dola za Kiarabu na Waarabu." Hii ilikuja wakati wa mapokezi yake mnamo Jumapili ya Nabil Fahmy, mgombea wa wadhifa wa Katibu Mkuu wa Umoja huo, na Ahmed Aboul Gheit, Katibu Mkuu wa sasa, ambaye muhula wake unaisha mwishoni mwa mwezi huu. El-Sisi pia alithibitisha "maono ya Misri ambayo yana nia ya kuchukua dori za kujenga ambazo zinakuza masuluhisho ya amani kwa migogoro ya eneo hilo."
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (480)
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (480)
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 606
Vichwa Vikuu vya Toleo 606
Mabadiliko katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir /…
Tunawajulisha kwamba Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria sasa…
Mwaka Mpya wa Hijri Sio Maadhimisho ya Kihistoria, Bali Mwanzo…
Mwaka Mpya wa Hijri unatujia tarehe 1 Muharram 1448 H, sawia na 16/06/2026 M. Hii…
Matendo ya Watu wa Ash-Sham Yanathibitisha Kwamba Wao Ndio Wamiliki…
Harakati maarufu katika majiji na miji kadhaa ya Syria, zinazojirudia kwa zaidi ya mnasaba mmoja…




